December 09, 2011

50 Cent Talks Giving Back, State of Music, & Becoming a Billionaire

50 Cent sat down with The Wall Street Journal‘s Lee Hawkins for a serious discussion. The hip-hop impresario and philanthropist spoke about how his SYNC by 50 headphones differ from Dr. Dre’s Beats by Dre, his mission to end hunger in Africa through his business ventures, how the Internet has impacted the music biz (“I think Sean Parker has a pretty good idea with Spotify”), his mixtapes, and becoming a billionaire.

December 07, 2011

Shule Ya Mapenzi Yaanzishwa!!!

Shule ya kwanza ya kufundisha mapenzi duniani imefunguliwa huko viena austria ambapo lengo lake ni kufundisha watu jinsi mapenzi yanavyotakiwa kuwa.

Lil Wayne Amezifuta Ziara Zake Nchini Australia Na Kuongeza Tarehe Za Ziara Barani Afrika;

Rapper Lil Wayne amewashtua mashabiki wake wa Australia baada ya kufuta tarehe za ziara za kimuziki nchini. Rapa huyo alitakiwa kufanya show huko Perth (November 25) lakini akaifuta show, pia alikuwa na show huko Adelaide jumapili ya (November 27) lakini pia akaifuta.

50 Cent Kutoka Na Mixtape Ya Ngoma 10 Ambayo Itaitwa 'Big 10'

The Hip-Hop Mogul mwenye asili ya Southside Jamaica, mzaliwa wa jimbo la Queens rapper 50 Cent yuko mbioni kuachia mixtape yake aliyoipa jina la “Big 10.”

Muigizaji AKI Kutoka Nigeria Aoa Kwa Mbwembwe

HIVI karibuni kulikuwa na shangwe, hoihoi nderemo na vifijo pale muigizaji nyota wa filamu wa Nigeria, Chinedu Ikedieze, maarufu kwa jina la Aki (33), alipofunga pingu za maisha na mrembo Nneoma Hope Nwajah (20) katika kitongoji cha Mbano kilichopo katika Jimbo la Imo. 

Professor Jay Kujenga Studio Nyumbani Kwake!!

Siku chache baada ya kuhamia kwenye nyumba yake aliyojenga mbezi ya kimara dare s salaam, Hiphop Legend wa TANZANIA Profesa J, ameFIX kwamba mpango unaofata ni kujenga studio ya muziki nyumbani kwake.

LL Cool J Aizungumzia Single Yake Na Ne-Yo

Rapa ambae ni halali kumuita legend wa hiphop duniani LL COOL j, amesema hakua na mpango wa kuitoa kwenye radio na mitandao mingine track yake ya NO MORE aliyompa shavu mwimbaji NE Y0, ila alifanya hivyo kutokana na watu kuipenda hiyo track baada ya kuisikia kwenye TV SERIES ya NCIS Las angeles.

T.I. Azungumza Kuhusu Ujio Wa Albam Yake Mpya Itakayoitwa ‘Trouble Man’ Na Jinsi Anavyopenda Kucheza Na Makalio Ya Mkewe Mbele Ya Watoto Wake.

Rapa T.I. aliyekuwa na mwonekano wa tabasamu muda wote akiwa katika mahojiano na Jimmy Fallon siku ya jumatano katika kipindi cha “Late Night.” The King of the South akiwa hapo aliweza kuzungumia pia asili ya jina lake, kitabu kinachohusu maisha yake "Power & Beauty,

Nicki Minaj, Bruno Mars, Usher, & Lupe Fiasco Waikubali List Grammy Nominees

Msimu mpya wa tuzo za Grammy umeshaanza na tayari uzinduzi wa kuwataja washindani umefanyika katika ukumbi wa Nokia Theatre L.A. LIVE huko Los Angeles usiku wa jumatano (Nov. 30). 

Willow Smith Atangaza Tarehe Ya Kutoka Kwa Albam Yake.


2012 itakuwa ni mwaka mpya kwa Willow Smith. Mtoto mwenye miaka 11 na mwenye kipaji cha kutisha katika game ya muziki, hatimaye ametangaza ujio wa albam yake mpya itakayoingia sokoni mapema mwakani.

Sasa Hapa Tusemaje! Wanawake Wa Zimbabwe Wanabaka Wanaume!!!!

Polisi Wa Zimbabwe Wanaamini Kwamba Kuna Tabia Ya Wanawake Kubaka Wanaume Nchini Humo Na Kutumia Mbegu Zao Za Kiume Kwenye Imani Za Kishirikina Kwa Ajili Ya Utajiri.

December 06, 2011

Facebook Yazidi Kumtesa Linnah!

Stori ambayo ilimfanya aingie kwenye habari za leo kwenye FIXED 20, ni kuhusu account mpya zilizofunguliwa na watu wasiojulikana, kwa kutumia jina lake kwenye fb.

Collo Akana Kumjua Rabbit


Hiphop STAR wa Kenya, COLLO (King wa Rap Kenya) amesema hamfaham wala hajawah kumsikia msanii RABBIT ambae amekua akizungumziwa kwenye vichwa vya habari kenya kwamba ana BEEF na COLLO.

Lady Jay Dee!!! Mashaallah Au?

ZIKIWA zimekatika siku kadhaa tangu mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’  alazwe nchini Ufaransa akisumbuliwa na ugonjwa aliouita wa ‘heri’, tumbo lake limeonekana kuwa kubwa zaidi na kufanya minong’ono kwamba tayari ni mjamzito.

Rihanna, Mary J. Blige Waingia Katika Top 5 Ya Albums Chart Ndani Ya Billboard.

Rihanna na Mary J. Blige wamefanikiwa kuzitikisa chart za albam bora wiki hii. Warembo hawa wako katika wakati mzuri wa kutabasamu kwasasa baada ya albam zao kufanya vizuri katika mauzo, na kuwaweka katika orodha ya top 5.

Soda Zaidi Ya Uijuavyo!

KUNA mjadala mkali unaendelea kuhusu vinywaji baridi hususan soda, baada ya utafiti wa hivi karibuni kuonesha kuwa soda inaweza kuwa na madhara zaidi kiafya kuliko hata sigara! 

Peter Msechu Awafungukia Mapromoter Wa Tanzania

MSHINDI wa Project Fame 2011,  Peter Msechu ameibuka na kusema: “Mapromota wa Bongo wamenisahau kabisa, pamoja na ukali wangu, lakini hawanialiki kupiga shoo. Nimejiuliza sana sababu, lakini sijapata jibu.” Msechu alisema hayo juzikati jijini Dar es Salaam, ambapo alisisitiza: “Wakati Bongo wakinibania, naitwa sana nje ya nchi. 

Wema Asema Hataki Kwenda Tena South Afrika

DIVA katika Tasnia ya Filamu Bongo, Wema Abraham Sepetu amesema hali aliyoiona nchini Afrika Kusini inatisha na hana hamu ya kurudi tena nchini humo.

Hili Choko Choko

BADO chokochoko kati ya masistaduu wawili ‘wanaotikisa mkia’ katika Tasnia ya Filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper Masawe na Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ zinaendelea huku kisa kikidaiwa kuwa ni mapenzi, Fixed 20 inakuja na full data.

Maskini VENGU Jamani!!!

WINGU zito limetanda kwa mastaa nchini wakionesha majonzi makubwa juu ya afya ya staa mwenye uzani wa juu Bongo, Joseph Shamba a.k.a Vengu ambaye hali ya afya yake ni tete. 

December 04, 2011

CPU: movie ya kibongo inayoshine CINEMA!!

Movie ilyotengenezwa kwa Gharama bajeti kubwa bongo, ikiaminika kwamba ndio movie ya kibongo kuandaliwa kwa muda mrefu kuliko movie nyingine yoyote imeonyesha mafanikio toka ianzwe kuonyeshwa kwenye ukumbi wa CINEMA Dar es salaam.