May 06, 2012

Diamond Atoa Msaada Kwa Watoto Yatima


Msanii ambae sasa hivi ndio anaongoza kwa kupiga show nyingi na zenye pesa ndefu, Diamond Platnums ametumia zaidi ya shilingi milioni mbili kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima Kinondoni Ananasif Dar es salaam.