June 08, 2011

MGANDA AMUUZIA NGOMA....SIR ELTON JOHN...!


Msanii toka Uganda anayeishi Uingereza,Tazz Mujagata ni mmoja kati ya wasanii wanaokuja juu sana,coz amepata offer toka kwa Sir Elton John baada ya kuvutiwa na live perfomance zake pamoja na mashairi yake mazuri

ALBUM YA JAY Z NA KANYE...YAVUJA ONLINE...!

....JAY-Z NA KANYE WEST....
Album ya Watch The Throne ambayo collabo album ya Jay z na kanye West imevuja kwenye mtandao
Album ya Watch The throne ilitangazwa kuwa itakua official released July 2011 na baada ya kuvuja online inasemekana kuwa kuna vichwa vilivyopata shavu humo ndani kama Beyoncé na Brumo Mars wamepiga collabo iitwayo Lift Off na Producer Swizz Beats

FALLY IPUPA....AZINGUA KENYA....ASEPA...!

IPUPA NSIMBA AKA FALLY IPUPA
Baada ya kupiga show ya kutakata kwenye tamasha la SawaSawa Festival siku kadhaa zilizopita,Fans wa Fally Ipupa walitegemea burudani nyingine toka kwake kwenye show nyingine lakini zilizotangazwa lakini zikafutwa ghafla dakika za mwisho....!

RUFFTONE....KUCHUKUA JIKO AUGUST...!


Gospel Rapper toka pande za Kenya Rufftone anatarajiwa kufunga ndoa mwezi August 2011 na longtime girlfriend aitwaye Cristal,ambaye pia ni msanii wa gospel
Rufftone na Cristal walikua na uhusiano wa muda mrefu na Msanii mwenzake wa Gospel,Daddy Owen ndiye atakua best man kwenye harusi hiyo

BAJETI YA 2011/12 KUSOMWA LEO JIONI....MJENGONI...!


Mkutano wa Nne wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza jana mjini Dodoma ikiwa ni Bunge la Bajeti wa mwaka 2011/12,kwa kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu na shughuli nyingine za bunge na Bajeti

T-PAIN....KUACHANA NA KITU CHA AUTO TUNE?!


Faheem Rasheed Najm aka Artist T-Pain hivi karibuni alifunguka kuhusu utumiaji wake wa Auto Tune na kusema kuwa ana mpango wa kuachana na kutumia Auto Tune (effect kwenye vocals) kwenye track zake zijazo

GENEVIEVE NNAJI....KUIGIZA MOVIE YA JAMES BOND?!

GENEVIEVE NNAJI
Kuna za Chini ya Maji aka Rumours zinazomuhusu Nollywood actress, Genevieve Nnaji kuwa amepata shavu la kuigiza kwenye movie ijayo ya James Bond

BOBI WINE....ATOA KADI ZA KIKAO CHA HARUSI....


Bobi Wine na mke wake mtarajiwa Barbra Itungo aka Barbie Wine,wametangaza kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu,na wanatarajiwa kuanza kikao cha kwanza cha harusi alhamisi hii Alfredo bar and Restaurant pande

June 06, 2011

P-UNIT....COLLABO NA LILIAN WA BLU3....!

HUBERT NAKITARE AKA NONINI
The Godfather aka Nonini ndiye aliyewatoa kwenye music industry kundi la P-Unit kwa hits kali kama sio lazima,kushoto kulia,hapa kule,na ngoma kali ya Kare toka kwenye

RIRI AIBUKA.....AITETEA VIDEO YA MAN DOWN...!

ROBYN RIHANNA FENTY AKA RIRI
Baada ya fans wa Rihanna kutaka video yake mpya ya Man Down ifungiwe coz itahamasisha uhalifu kwa madogo,baada ya Rihanna kuonekana

BEBE COOL ....SASA AMILIKI VYOMBO VYA DISCO...!

MOSES BIDANDI SSALI AKA BEBE COOL
Inaelekea kwa sasa kama biashara ya disco na bar nchini Uganda iko juu, baada ya wasanii kadhaa kama RabaDaba na GNL Zamba kufungua Bar,

NASRI,WENGER KUMUONA LIVE....RIHANNA..!

SAMIR NASRI
Mchezaji wa Arsenal,Samir Nasri ni mmoja kati ya star wa Arsenal aliyeshinda ticket ya kwenda kumuona R’n’B star,Rihanna akipiga show baada ya kuchangia paudi 16,000

POLE SANA....INSPECTOR HAROUN...!

Haruna Kahuna aka Inspector aka Babu za chini ya maji zinadai kuwa mke wake Bahati Shada ameyetoweka home pande za Tandika,