May 06, 2012

Diamond Atoa Msaada Kwa Watoto Yatima


Msanii ambae sasa hivi ndio anaongoza kwa kupiga show nyingi na zenye pesa ndefu, Diamond Platnums ametumia zaidi ya shilingi milioni mbili kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima Kinondoni Ananasif Dar es salaam.

February 27, 2012

Linah Kuondoka Bongo March 2012!


Baada ya kuukubali mwaliko wa kwenda kuimba kwenye stage moja na Usher Raymond Marekani, alafu akaukubali tena mwaliko wa mama laura bush kwenda na kurudi marekani kwa mara ya pili, mwimbaji Linah Sanga ameukubali mwaliko wa tatu wa kurudi tena marekani kwa ajili ya showz.

Tamko Rasmi La Vinega Juu Makubaliano Yaliyofikiwa


 Tarehe 23 ya mwezi February, 2012 mida ya saa 1 usiku mpaka saa 5 na nusu usiku katika eneo la Mwenge Vinega wa anti virus tulikutana katika kufanya tathmini na kujadli maridhiano ya kumaliza ugomvi wa kimaslahi kati ya Kundi la Vinega na Redio Clouds pamoja na Bwana Rugemalila Mutahaba,katika kikao hicho tuliridhiana kutoa tamko hili kwa umma wote wa watanzania na wapenda maendeleo wote wa sanaa yetu.

Wananchi Kulipia Gharama Za Televisheni Sasa

 
Serikali imetangaza rasmi kuwa Juni mwaka huu itazima mitambo yake ya mawasiliano inayowezesha matangazo ya Analojia na badala yake matangazo yote yatarushwa katika mtindo wa digitali. 

Diamond Platinums Kuoa Baada Ya Kili Music Awards



MWANAMUZIKI ‘sharobaro’, Naseeb Abdul ‘Diamond’ ameianika dhamira yake ya kutaka kuoa ndani ya siku chache zijazo huku akidai tukio hilo litafanyika usiku.

Joh Makini Ataja Nyimbo Mpya Atakazo Achia Baada Ya “Bye Bye”


Baada ya single ya bye bye kufanya poa toka aiachie miezi saba iliyopita, mwamba wa kaskazini rapper Joh Makini ametangaza exclusive kwenye millardayo.com kwamba sasa imefika time ya kuachia hit nyingine.

December 09, 2011

50 Cent Talks Giving Back, State of Music, & Becoming a Billionaire

50 Cent sat down with The Wall Street Journal‘s Lee Hawkins for a serious discussion. The hip-hop impresario and philanthropist spoke about how his SYNC by 50 headphones differ from Dr. Dre’s Beats by Dre, his mission to end hunger in Africa through his business ventures, how the Internet has impacted the music biz (“I think Sean Parker has a pretty good idea with Spotify”), his mixtapes, and becoming a billionaire.

December 07, 2011

Shule Ya Mapenzi Yaanzishwa!!!

Shule ya kwanza ya kufundisha mapenzi duniani imefunguliwa huko viena austria ambapo lengo lake ni kufundisha watu jinsi mapenzi yanavyotakiwa kuwa.

Lil Wayne Amezifuta Ziara Zake Nchini Australia Na Kuongeza Tarehe Za Ziara Barani Afrika;

Rapper Lil Wayne amewashtua mashabiki wake wa Australia baada ya kufuta tarehe za ziara za kimuziki nchini. Rapa huyo alitakiwa kufanya show huko Perth (November 25) lakini akaifuta show, pia alikuwa na show huko Adelaide jumapili ya (November 27) lakini pia akaifuta.

50 Cent Kutoka Na Mixtape Ya Ngoma 10 Ambayo Itaitwa 'Big 10'

The Hip-Hop Mogul mwenye asili ya Southside Jamaica, mzaliwa wa jimbo la Queens rapper 50 Cent yuko mbioni kuachia mixtape yake aliyoipa jina la “Big 10.”

Muigizaji AKI Kutoka Nigeria Aoa Kwa Mbwembwe

HIVI karibuni kulikuwa na shangwe, hoihoi nderemo na vifijo pale muigizaji nyota wa filamu wa Nigeria, Chinedu Ikedieze, maarufu kwa jina la Aki (33), alipofunga pingu za maisha na mrembo Nneoma Hope Nwajah (20) katika kitongoji cha Mbano kilichopo katika Jimbo la Imo. 

Professor Jay Kujenga Studio Nyumbani Kwake!!

Siku chache baada ya kuhamia kwenye nyumba yake aliyojenga mbezi ya kimara dare s salaam, Hiphop Legend wa TANZANIA Profesa J, ameFIX kwamba mpango unaofata ni kujenga studio ya muziki nyumbani kwake.

LL Cool J Aizungumzia Single Yake Na Ne-Yo

Rapa ambae ni halali kumuita legend wa hiphop duniani LL COOL j, amesema hakua na mpango wa kuitoa kwenye radio na mitandao mingine track yake ya NO MORE aliyompa shavu mwimbaji NE Y0, ila alifanya hivyo kutokana na watu kuipenda hiyo track baada ya kuisikia kwenye TV SERIES ya NCIS Las angeles.