November 21, 2011

The King Is Baccccccccccccccckkkk!!!!!!!!!!!!

Baada Ya Kukaa Kimya Kwa Zaidi Ya Miezi Minne (4), Sasa Mtu Mzima Kazini Kama Zamaniiiiiiiiii!!!!!!!. Ukimya Wangu Ulisababishwa Na Mengi Ikiwemo Kuweka Mambo Ya Familia Na Maisha Katika Mstari, Na Sasa Kila Kitu Kitu Kitakua Poa Kila Siku Utapata Story Mpya Na Kila Kitu Kuhusu Maisha Ya Watu Maarufu Kutoka Nzima.

Stay Tuned Hapa Hapa!!!!!!!!!

Nyeusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

King David "tHE mATSER oF cRAZY sHOwzzzzzzzz"

No comments:

Post a Comment