Mwanamke anayefahamika kwa jina la Mariah Yeater aliyeibuka na kudai kwamba amezaa na Justin Bieber hivi karibuni amefanyiwa mahojiano na The Insider na kueleza jinsi ilivyokuwa wakati akikutana na Justin.
November 25, 2011
Kikwete: Nimefanya kama Nyerere, Mwinyi na Mkapa
Asema hajavunja Katiba wala sheria mchakato katiba mpya
Hakuna jinsi ya kumkwepa Rais kuwa sehemu ya mchakato
Ahaidi anakusudia kuusaini muswada huo mapema sana
20 Percent abambwa na GANJA!
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi, limemsweka nyuma ya nondo na kumfikisha kwa pilato (Mahakamani) msaani wa Bongo fleva, Abbas Hamisi Kisanza au kwa jina la kisanii 20%, kwa tuhuma za kupatikana na bangi.
Albam Mpya Ya Drake ‘Take Care’ Yatabiriwa Kufanya Mapinduzi Kimauzo Wiki Hii.
Mashabiki wa rapa Drake wameonesha uzalendo wa kuikubali albam yake. Albam ya Take Care ni ya pili kutoka kwa The Young Money star’ imeanza kuonesha dalili za kufanya vizuri kwa wiki ya kwanza baada ya kuingia sokoni Nov 15.
November 21, 2011
The King Is Baccccccccccccccckkkk!!!!!!!!!!!!
Baada Ya Kukaa Kimya Kwa Zaidi Ya Miezi Minne (4), Sasa Mtu Mzima Kazini Kama Zamaniiiiiiiiii!!!!!!!. Ukimya Wangu Ulisababishwa Na Mengi Ikiwemo Kuweka Mambo Ya Familia Na Maisha Katika Mstari, Na Sasa Kila Kitu Kitu Kitakua Poa Kila Siku Utapata Story Mpya Na Kila Kitu Kuhusu Maisha Ya Watu Maarufu Kutoka Nzima.
Stay Tuned Hapa Hapa!!!!!!!!!
Nyeusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
King David "tHE mATSER oF cRAZY sHOwzzzzzzzz"
Stay Tuned Hapa Hapa!!!!!!!!!
Nyeusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
King David "tHE mATSER oF cRAZY sHOwzzzzzzzz"
August 05, 2011
Rihanna Busts Out at the Beach in Barbados
Rihanna enjoyed a much-deserved day off from work, soaking up the sun back home in Barbados with her childhood pals.
New Music: Chris Brown – ‘Boy in Detention’ [Mixtape]
Chris Brown puts his rhyme skills to the test on his first hip-hop mixtape Boy in Detention. The 21-track giveaway features Wiz Khalifa, Big K.R.I.T., Tyga, Swizz Beatz,
Ciara Sizzles at Station Invasion Tour in NYC
Ciara hit the stage at Beekman’s Beer Garden at the South Street Seaport in New York City last night for Malibu Rum’s beach-themed Station Invasion Concert Tour.
July 24, 2011
Video: Bow Wow – ‘Sh*t on My Mind’
Bow Wow barks back in the gritty video for “Shit on My Mind,” a cut off his upcoming Greenlight 4 mixtape hosted by DJ Ill Will and DJ Rockstar.
June 08, 2011
MGANDA AMUUZIA NGOMA....SIR ELTON JOHN...!
ALBUM YA JAY Z NA KANYE...YAVUJA ONLINE...!
Album ya Watch The Throne ambayo collabo album ya Jay z na kanye West imevuja kwenye mtandao
Album ya Watch The throne ilitangazwa kuwa itakua official released July 2011 na baada ya kuvuja online inasemekana kuwa kuna vichwa vilivyopata shavu humo ndani kama Beyoncé na Brumo Mars wamepiga collabo iitwayo Lift Off na Producer Swizz Beats
FALLY IPUPA....AZINGUA KENYA....ASEPA...!
Baada ya kupiga show ya kutakata kwenye tamasha la SawaSawa Festival siku kadhaa zilizopita,Fans wa Fally Ipupa walitegemea burudani nyingine toka kwake kwenye show nyingine lakini zilizotangazwa lakini zikafutwa ghafla dakika za mwisho....!
RUFFTONE....KUCHUKUA JIKO AUGUST...!
BAJETI YA 2011/12 KUSOMWA LEO JIONI....MJENGONI...!
Subscribe to:
Posts (Atom)









