November 25, 2011

Mariah Yeater Ahojiwa kuhusu Jinsi Ilivyokuwa Wakati Akipewa Ujauzito Na Justin Bieber

Mwanamke anayefahamika kwa jina la Mariah Yeater aliyeibuka na kudai kwamba amezaa na Justin Bieber hivi karibuni amefanyiwa mahojiano na The Insider na kueleza jinsi ilivyokuwa wakati akikutana na Justin.

Kikwete: Nimefanya kama Nyerere, Mwinyi na Mkapa

Asema hajavunja Katiba wala sheria mchakato katiba mpya    
Hakuna jinsi ya kumkwepa Rais kuwa sehemu ya mchakato    
Ahaidi anakusudia kuusaini muswada huo mapema sana

20 Percent abambwa na GANJA!

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi, limemsweka nyuma ya nondo na kumfikisha kwa pilato (Mahakamani) msaani wa Bongo fleva, Abbas Hamisi Kisanza au kwa jina la kisanii 20%, kwa tuhuma za kupatikana na bangi.

Albam Mpya Ya Drake ‘Take Care’ Yatabiriwa Kufanya Mapinduzi Kimauzo Wiki Hii.

Mashabiki wa rapa Drake wameonesha uzalendo wa kuikubali albam yake. Albam ya Take Care ni ya pili kutoka kwa The Young Money star’ imeanza kuonesha dalili za kufanya vizuri  kwa wiki ya kwanza baada ya kuingia sokoni Nov 15.

New Music: Busta Rhymes f/ Chris Brown – ‘Why Stop Now’


Busta Rhymes amespit fire ndani ya brand new single yake “Why Stop Now” aliyoifanya na Chris Brown,

November 21, 2011

The King Is Baccccccccccccccckkkk!!!!!!!!!!!!

Baada Ya Kukaa Kimya Kwa Zaidi Ya Miezi Minne (4), Sasa Mtu Mzima Kazini Kama Zamaniiiiiiiiii!!!!!!!. Ukimya Wangu Ulisababishwa Na Mengi Ikiwemo Kuweka Mambo Ya Familia Na Maisha Katika Mstari, Na Sasa Kila Kitu Kitu Kitakua Poa Kila Siku Utapata Story Mpya Na Kila Kitu Kuhusu Maisha Ya Watu Maarufu Kutoka Nzima.

Stay Tuned Hapa Hapa!!!!!!!!!

Nyeusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

King David "tHE mATSER oF cRAZY sHOwzzzzzzzz"

August 05, 2011

Rihanna Busts Out at the Beach in Barbados

 Rihanna enjoyed a much-deserved day off from work, soaking up the sun back home in Barbados with her childhood pals.

New Music: Chris Brown – ‘Boy in Detention’ [Mixtape]

 Chris Brown puts his rhyme skills to the test on his first hip-hop mixtape Boy in Detention. The 21-track giveaway features Wiz Khalifa, Big K.R.I.T., Tyga, Swizz Beatz,

Ciara Sizzles at Station Invasion Tour in NYC

 Ciara hit the stage at Beekman’s Beer Garden at the South Street Seaport in New York City last night for Malibu Rum’s beach-themed Station Invasion Concert Tour.

July 24, 2011

Video: Bow Wow – ‘Sh*t on My Mind’

Bow Wow barks back in the gritty video for “Shit on My Mind,” a cut off his upcoming Greenlight 4 mixtape hosted by DJ Ill Will and DJ Rockstar. 

June 08, 2011

MGANDA AMUUZIA NGOMA....SIR ELTON JOHN...!


Msanii toka Uganda anayeishi Uingereza,Tazz Mujagata ni mmoja kati ya wasanii wanaokuja juu sana,coz amepata offer toka kwa Sir Elton John baada ya kuvutiwa na live perfomance zake pamoja na mashairi yake mazuri

ALBUM YA JAY Z NA KANYE...YAVUJA ONLINE...!

....JAY-Z NA KANYE WEST....
Album ya Watch The Throne ambayo collabo album ya Jay z na kanye West imevuja kwenye mtandao
Album ya Watch The throne ilitangazwa kuwa itakua official released July 2011 na baada ya kuvuja online inasemekana kuwa kuna vichwa vilivyopata shavu humo ndani kama Beyoncé na Brumo Mars wamepiga collabo iitwayo Lift Off na Producer Swizz Beats

FALLY IPUPA....AZINGUA KENYA....ASEPA...!

IPUPA NSIMBA AKA FALLY IPUPA
Baada ya kupiga show ya kutakata kwenye tamasha la SawaSawa Festival siku kadhaa zilizopita,Fans wa Fally Ipupa walitegemea burudani nyingine toka kwake kwenye show nyingine lakini zilizotangazwa lakini zikafutwa ghafla dakika za mwisho....!

RUFFTONE....KUCHUKUA JIKO AUGUST...!


Gospel Rapper toka pande za Kenya Rufftone anatarajiwa kufunga ndoa mwezi August 2011 na longtime girlfriend aitwaye Cristal,ambaye pia ni msanii wa gospel
Rufftone na Cristal walikua na uhusiano wa muda mrefu na Msanii mwenzake wa Gospel,Daddy Owen ndiye atakua best man kwenye harusi hiyo

BAJETI YA 2011/12 KUSOMWA LEO JIONI....MJENGONI...!


Mkutano wa Nne wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza jana mjini Dodoma ikiwa ni Bunge la Bajeti wa mwaka 2011/12,kwa kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu na shughuli nyingine za bunge na Bajeti