Mkutano wa Nne wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza jana mjini Dodoma ikiwa ni Bunge la Bajeti wa mwaka 2011/12,kwa kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu na shughuli nyingine za bunge na Bajeti
Faheem Rasheed Najm aka Artist T-Pain hivi karibuni alifunguka kuhusu utumiaji wake wa Auto Tune na kusema kuwa ana mpango wa kuachana na kutumia Auto Tune (effect kwenye vocals) kwenye track zake zijazo
Bobi Wine na mke wake mtarajiwa Barbra Itungo aka Barbie Wine,wametangaza kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu,na wanatarajiwa kuanza kikao cha kwanza cha harusi alhamisi hii Alfredo bar and Restaurant pande
The Godfather aka Nonini ndiye aliyewatoa kwenye music industry kundi la P-Unit kwa hits kali kama sio lazima,kushoto kulia,hapa kule,na ngoma kali ya Kare toka kwenye
Mchezaji wa Arsenal,Samir Nasri ni mmoja kati ya star wa Arsenal aliyeshinda ticket ya kwenda kumuona R’n’B star,Rihanna akipiga show baada ya kuchangia paudi 16,000
Msanii wa Bongo Flava aliyetamba sana na track iliyojulikana kwa jina la Riziki,featuring Stara Thomas na Bizman ,Kashumba Basil aka K-Bazil anatarajiwa kuzindua album yake ya kwanza ya Gospel aka Injili
Baada ya Msanii Faysal Seguya aka Rabadaba toka Uganda kufungua Bar iitwayo DabaBara Bar pande za Kampala Road naye Hip-Hop Artist toka Uganda Ernest Nsimbi Zamba aka GNL Zamba naye amefungua Bar yake
Ambwene Yessayah aka AY aka Mzee wa Commercial amekwenda next level zaidi baada ya kufanya collabo mkali kutoka marekani,Percy Romeo Miller JR. aka Lil Romeo na D'anna Stewart,ngoma iitwayo Speak with your Body
Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea poa kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wakati akiendesha pikipiki za kwenye maji aka jetski na kugonga daraja
Mmoja wa pacha wanaounda kundi la P-Square,Paul Okoye alionja joto ya jiwe baada ya kuvamiwa na majambazi alipokuwa njiani kuelekea Victoria Island kucheki washikaji zake Paul alikuwa
New York rap star Nasir bin Olu Dara Jones aka Nas ametangaza ujio wake wa new upcoming solo album Nas alitupia kwenye Twitter account yake na kulifungua jina la album hiyo mpya itakayoitwa Life is Good