June 08, 2011

BAJETI YA 2011/12 KUSOMWA LEO JIONI....MJENGONI...!


Mkutano wa Nne wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza jana mjini Dodoma ikiwa ni Bunge la Bajeti wa mwaka 2011/12,kwa kuanza kwa kipindi cha maswali na majibu na shughuli nyingine za bunge na Bajeti

T-PAIN....KUACHANA NA KITU CHA AUTO TUNE?!


Faheem Rasheed Najm aka Artist T-Pain hivi karibuni alifunguka kuhusu utumiaji wake wa Auto Tune na kusema kuwa ana mpango wa kuachana na kutumia Auto Tune (effect kwenye vocals) kwenye track zake zijazo

GENEVIEVE NNAJI....KUIGIZA MOVIE YA JAMES BOND?!

GENEVIEVE NNAJI
Kuna za Chini ya Maji aka Rumours zinazomuhusu Nollywood actress, Genevieve Nnaji kuwa amepata shavu la kuigiza kwenye movie ijayo ya James Bond

BOBI WINE....ATOA KADI ZA KIKAO CHA HARUSI....


Bobi Wine na mke wake mtarajiwa Barbra Itungo aka Barbie Wine,wametangaza kufunga ndoa mwishoni mwa mwaka huu,na wanatarajiwa kuanza kikao cha kwanza cha harusi alhamisi hii Alfredo bar and Restaurant pande

June 06, 2011

P-UNIT....COLLABO NA LILIAN WA BLU3....!

HUBERT NAKITARE AKA NONINI
The Godfather aka Nonini ndiye aliyewatoa kwenye music industry kundi la P-Unit kwa hits kali kama sio lazima,kushoto kulia,hapa kule,na ngoma kali ya Kare toka kwenye

RIRI AIBUKA.....AITETEA VIDEO YA MAN DOWN...!

ROBYN RIHANNA FENTY AKA RIRI
Baada ya fans wa Rihanna kutaka video yake mpya ya Man Down ifungiwe coz itahamasisha uhalifu kwa madogo,baada ya Rihanna kuonekana

BEBE COOL ....SASA AMILIKI VYOMBO VYA DISCO...!

MOSES BIDANDI SSALI AKA BEBE COOL
Inaelekea kwa sasa kama biashara ya disco na bar nchini Uganda iko juu, baada ya wasanii kadhaa kama RabaDaba na GNL Zamba kufungua Bar,

NASRI,WENGER KUMUONA LIVE....RIHANNA..!

SAMIR NASRI
Mchezaji wa Arsenal,Samir Nasri ni mmoja kati ya star wa Arsenal aliyeshinda ticket ya kwenda kumuona R’n’B star,Rihanna akipiga show baada ya kuchangia paudi 16,000

POLE SANA....INSPECTOR HAROUN...!

Haruna Kahuna aka Inspector aka Babu za chini ya maji zinadai kuwa mke wake Bahati Shada ameyetoweka home pande za Tandika,

May 31, 2011

K-BAZIL KUZINDUA ALBUM YAKE YA GOSPEL...!


KASHUMBA BAZIL AKA K-BAZIL
Msanii wa Bongo Flava aliyetamba sana na track iliyojulikana kwa jina la Riziki,featuring Stara Thomas na Bizman ,Kashumba Basil aka K-Bazil anatarajiwa kuzindua album yake ya kwanza ya Gospel aka Injili

GNL ZAMBA...NAYE AFUNGUA BAR UGANDA...!

GNL-ZAMBA

Baada ya Msanii Faysal Seguya aka Rabadaba toka Uganda kufungua Bar iitwayo DabaBara Bar pande za Kampala Road naye Hip-Hop Artist toka Uganda Ernest Nsimbi Zamba aka GNL Zamba naye amefungua Bar yake

AY....LIL ROMEO TAYARI...SOULJA BOY NEXT..!

AMBWENE YESSAYAH AKA AY

Ambwene Yessayah aka AY aka Mzee wa Commercial amekwenda next level zaidi baada ya kufanya collabo mkali kutoka marekani,Percy Romeo Miller JR. aka Lil Romeo na D'anna Stewart,ngoma iitwayo Speak with your Body

Sean Kingston Apata Nafuu Baada Ya Ajali Ya Boti Baharini.


Hali ya Artist Sean Kingston inaendelea poa kwenye hospitali aliyolazwa Jackson Ryder Trauma Center mjini Miami,baada ya kupata ajali wakati akiendesha pikipiki za kwenye maji aka jetski na kugonga daraja

Pacha Wa P Square Aporwa Na Majambazi!!!


PAUL OKOYE - P SQUARE
Mmoja wa pacha wanaounda kundi la P-Square,Paul Okoye alionja joto ya jiwe baada ya kuvamiwa na majambazi alipokuwa njiani kuelekea Victoria Island kucheki washikaji zake Paul alikuwa

Nas Escobar Atangaza Ujio Wa Albam Mpyaaa!!!!!!!


New York rap star Nasir bin Olu Dara Jones aka Nas ametangaza ujio wake wa new upcoming solo album Nas alitupia kwenye Twitter account yake na kulifungua jina la album hiyo mpya itakayoitwa Life is Good